Je Wewe ni Kiongozi au Mfuasi?

By | March 23, 2014
Duniani tuna makundi mawili ya watu, kuna kundi la kwanza ambapo watu hawa ni viongozi na kundi la pili ambapo watu hao ni wafuasi. Mara nyingi wanaofanikiwa sana na kufikia malengo waliyojiwekea ni wale waliopo kwenye kundi la viongozi. Viongozi huanzisha na wafuasi hufuata au kuiga, hii ndio inawafanya viongozi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz