Muda; Pata Masaa Mawili Ya Ziada Kila Siku.

By | May 13, 2014
Kwa wiki nzima kuanzia jumanne iliyopita nilikushauri unakili muda wa kila kitu unachokifanya unapoanza na unapomaliza. Kuna uwezekano umefanya au pia hukufanya. Kama ulifanya hivyo mpaka sasa utakuwa umeona muda wako mwingi unaupotezea wapi. Leo tutaangalia ni jinsi gani unaweza kupata masaa mawili ya ziada kila siku. Ninaposema utapata masaa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz