TABIA ZA MAFANIKIO; Tabia Ya Utunzaji Na Matumizi Mazuri Ya Fedha.

By | June 27, 2014
Kila mwezi ndani ya KISIMA CHA MAARIFA tunajadili tabia moja muhimu ya kujenga ili kuweza kufikia mafanikio makubwa katika maisha. Sehemu kubwa ya mafanikio yetu inatokana na tabia zetu ambazo zinatokana na matendo yetu ambayo ni zao la mawazo yetu. Kupitia sehemu hii ya TABIA ZA MAFANIKIO tunajadili jinsi ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz