FEDHA; Tatizo Sio Fedha, Tatizo Ni Wewe.

By | July 1, 2014
Karibu sana msomaji kwenye kipengele cha TABIA ZA MAFANIKIO ambapo tunashauriana jinsi ya kujenga tabia za kutusaidia kufikia mafanikio tunayotazamia. Kila mwezi tunajadili tabia moja muhimu ya kufikia mafanikio. Mwezi huu wa saba tunazungumzia fedha, upatikanaji wake na jinsi ya kuzitunza. Kutokana na umuhimu na upana wa somo hili tutajadili

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz