Uchambuzi Wa Vitabu Vitatu(Rich dad, poor dad, Think and grow rich na Richest man in babylon)

By | August 7, 2014
Vitabu hivi vitatu, RICH DAD, POOR DAD, THINK AND GROW RICH na THE RICHEST MAN IN BABYLON ni vitabu vizuri sana kuweza kufungua mawazo yako na kubadili mtazamo wako kuhusu maisha na hata mafanikio. Ni vitabu ambavyo nimekuwa navituma kwa watu kwanzia mwishoni mwa mwaka 2012. Mpaka sasa nimeshatuma vitabu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA UCHAMBUZI VITABU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz