FEDHA; Uwekezaji Wa Fedha Zako Kama Umeajiriwa Au Huna Muda Wa Kutosha.

By | August 19, 2014
Wiki iliyopita katika makala hizi za kujenga tabia za mafanikio, tuliona aina za uwekezaji ambazo mtu aliyejiajiri au anayefanya biashara anaweza kuzifanya. Aina hizo ni zile ambazo zinahitaji muda mwingi wa kufuatilia ili kuweza kufikia mafanikio makubwa. Kama hukupata nafasi ya kusoma makala ile isome kwa kubonyeza maneno haya. Leo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz