FEDHA; Usiifanyie Kazi Fedha, Wacha Fedha Ikufanyie Kazi Wewe.

By | August 26, 2014
Kwa miezi miwili, kila wiki tumekuwa tukipata makala moja ya kujifunza jinsi ya kujenga tabia nzuri kwenye matumizi ya fedha. Pia tumejifunza jinsi ya kujenga tabia ya kujiwekea akiba na muhimu zaidi tumejifunza jinsi ya kuwekeza fedha ili kupata thamani zaidi. Kama umefuatilia makala zote hizi kwa makini na kuanza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz