SIKU YA 1; Nguvu Ya Kujua Ni Nini Unataka Na Utakipataje.

By | September 1, 2014
Karibu sana kwenye SIKU 30 ZA MAFANIKIO MAKUBWA, katika siku hizi 30 utajifunza mambo yote muhimu unayohitaji kujua ili kuweza kufikia mafanikio makubwa kwenye maisha yako. Kumbuka kwamba unaweza kufikia mafanikio makubwa kwenye jambo lolote unalofanya au unalotaka kufanya. Kikubwa ni wewe kujua misingi unayotakiwa kufuata na kisha kuifuata na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz