Sifa tatu za wajasiriamali wenye mafanikio makubwa.

By | September 8, 2014
Mabadiliko makubwa duniani yameletwa na wajasiriamalia au watu wenye mawazo ya kijasiriamali. Hii ni kwa sababu watu hawa wanakuwa na mawazo tofauti ukilinganisha na watu wengine kwenye jamii. Wajasiriamali wanaiona dunia tofauti na ile inayoonekana na watu wengine na ndio maana huja na ugunduzi unaobadili maisha ya watu wengi sana.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz