SIKU YA 12; Nguvu Za Kufiki Mafanikio.

By | September 12, 2014
Kwa kila hatua utakayochukua kwenye maisha yako itatengeneza nguvu na nguvu hiyo itakusukuma kuelekea kwenye mafanikio au kuelekea kwenye kushindwa. Kuna nguvu za asili ambazo zikitumiwa vizuri zinaleta mafanikio na zikitumiwa vibaya zinasababisha kushindwa. Kuna nguvu nne zinazoweza kukuletea mafanikio kama ukizijua na kuzitumia vizuri. Nguvu ya kwanza ya mafanikio;

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz