SIKU YA 13; Siri Ya Kufanya Maamuzi Yenye Mafanikio.

By | September 13, 2014
Katika maisha yako ya kila siku kuna maamuzi mengi sana ambayo unayafanya. Maamuzi unayoyafanya yanaweza kuwa na athari kubwa kwenye kufikia mafanikio makubwa. Fikiria maamuzi makubwa mabayo umewahi kufanya kwenye maisha yako. Je ulipitia hatua gani kufanya maamuzi hayo? Je wakati unafanya maamuzi hayo ulikuwa katika hisia gani? Je unafikiri

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz