SIKU YA 14; Jinsi Ya Kutengeneza Haiba Inayoendana na Mabadiliko.

By | September 14, 2014
Haiba ya mtu inatokana na tabia na sifa za mtu huyo. Binadamu wote katika vipindi tofauti vya maisha yao hutengeneza tabia mbalimbali za kufikiri, kuhisi na hata kutenda. Baadhi ya tabia hizi hutengenezwa kwa kujua, nyingine hutengenezwa kwa kutokujua. Jumla ya tabia zote alizonazo mtu ndio zinatupatia haiba ya mtu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz