Sheria 10 Za Kuzingatia Kwenye Maisha.

By | September 16, 2014
Kuna sheria nyingi sana ambazo tunaishi nazo kwenye maisha yetu. Kuna ambazo tumezikuta kwenye jamii kwa asili na kuna ambazo zinatungwa na mamlaka husika. Hapa kuna sheria kumi ambazo unatakiwa kuishi nazo kila siku ili kurahisisha maisha yako. 1. Ukifungua kitu, hakikisha unakifunga. 2. Ukiwasha kitu, hakikisha unakizima. 3. Ukivunja

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz