SIKU YA 17; Jinsi Tengeneza Bahati Yako Mwenyewe

By | September 17, 2014
Mamilioni ya watu wanaenda na maisha bila ya kujua yanawapeleka wapi. Watu hawa wanafanya kile ambacho kinafanywa na kila mtu au kinachoonekana ni cha kawaida kufanya. Hawa ni watu ambao wanaamini kuna bahati na wao hawajapata bahati hiyo ndio maana maisha yao hayajawa vizuri. Sasa wewe ondoka kwenye kundi hili

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz