Mambo 10 Unayotakiwa Kuacha Kufanya Ili kuboresha Maisha Yako.

By | September 18, 2014
Maisha yetu ya kila siku yana changamoto nyingi sana. Lakini sehemu kubwa ya changamoto hizi tunasababisha wenyewe kutokana na maamuzi tunayofanya au tabia zetu wenyewe. Hapa kuna mambo kumi ambayo unatakiwa uache kuyafanya ili uweze kuwa na maisha bora. 1. Acha kulalamika sana kwenye maisha yako. Kulalamika hakutakusaida zaidi ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz