SIKU YA 22; Akili Yako Ya Ndani Inaweza Kukufikisha Kwenye Mafanikio Makubwa.

By | September 22, 2014
Ni kweli kwamba kuna nguvu kubwa sana ya uumbaji katika akili yako ya ndani(subconscious mind) ambayo inaweza kukuletea chochote unachotaka. Nguvu hii ni kubwa kama ile inayodhaniwa kuwa nguvu ya majini katika hadithi za Allannin, ambapo unasema kitu na kinatokea. Leo tutajifunza jinsi unavyoweza kutumia nguvu hii kufikia mafanikio makubwa.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz