SIKU YA 23; Siri Ya Kufikia Mafanikio Makubwa.

By | September 23, 2014
Ukiacha uwezo na nguvu za kawaida ambazo tunazo, kila mtu ana nguvu kubwa sana kupitia mawazo yake. Una nguvu zenye uwezo mkubwa wa kiakili ambazo zinaweza kukufikisha kwenye mafanikio makubwa. Kwa kifupi kila mtu ni ‘genius’ yaani una akili nyingi sana ambazo hujaweza kuzitumia bado. Ubongo wa binadamu una seli

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz