RICH DAD; Somo La Sita, Fanya Kazi Kujifunza, Usifanye Kazi Kupata Fedha.

By | September 25, 2014
Mwaka 1995 Robert alikuwa kwenye mahojiano na mwandishi wa habari. Mwandishi huyo alimwambia Robert angependa kuwa mwandishi mzuri na anayeuza kama yeye. Robert anasema kwa kuangalia makala alizokuwa anaandika zilikuwa nzuri sana. Robert alimwambia una staili nzuri ya kuandika, nini kinakuzuia kufikia malengo yako? Mwandishi alimjibu kazi yake haikuonekana kumfikisha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KITABU; RICH DAD, POOR DAD

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz