SIKU YA 25; Siri Za Mafanikio Kwa Wanafunzi.

By | September 25, 2014
Kila mtu anapenda kufanikiwa kwenye maisha yake. Na hata kwa wanafunzi, unapokuwa masomoni unapenda kufanikiwa kufikia viwango fulani ulivyojipangia. Unapenda kupata ufaulu mzuri katika masomo na pia unapenda kupata kazi nzuri baada ya kumaliza masomo yako. Yote haya yanawezekana kwako na kwa kila mwanafunzi kama ataijua misingi muhimu ya kufikia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz