SIKU YA 27; IMANI, Nguzo Muhimu Sana Ya Kufikia Mafanikio.

By | September 27, 2014
Vitu vyote vina mizizi yake kwenye imani. Kila kitu tunachofanya kwenye maisha kinaanzia na imani. Tunaamini kwamba chakula tunachokula kitaenda kujenga miili yetu na hivyo kutupatia afya bora japokuwa hatujui inatokeaje. Tunaamini kwamba hewa tunayovuta ina mchanganyiko mzuri ambao unahitajika kwenye miili yetu kwa ajili ya kutupatia nguvu. Tunaamini kwamba

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz