Uhusiano Wa Nidhamu Binafsi Na Mafanikio Makubwa.

By | September 30, 2014
Mpaka sasa tumeshajifunza nini maana ya nidhamu binafsi, faida zake na hata jinsi ya kujijengea nidhamu binafsi. Pia tumeona kwamba kujenga nidhamu binafsi sio kazi ndogo ila pia sio kwamba haiwezekani. Inahitaji kujitoa na kujipanga ili kuweza kufikia nidhamu binafsi. Nidhamu binafsi ndio hitaji na msingi mkubwa wa kuweza kufikia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz