RICHEST MAN; Mtu Tajiri Kuliko Wote Babeli.

By | October 10, 2014
Karibu tena msomaji wa KISIMA CHA MAARIFA, tunaendelea na uchambuzi wa kitabu THE RICHEST MAN BABYLON. Kwenye makala iliyopita tuliona jinsi Bansir na Kobbi walivyoyatafakari maisha yao na kuona kuna tatizo kubwa. Na hivyo waliamua kumtafuta mtu tajiri na kujifunza kwa sababu waliamini matajiri wana siri inayowafanya waendelee kuwa matajiri.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: THE RICHEST MAN IN BABYLON

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz