RICHEST MAN; Mtu Tajiri Kuliko Wote Babeli–2.

By | October 16, 2014
Katika uchambuzi uliopita tuliona Bansier na Kobbi wakikubaliana kwenda kuomba ushauri kuhusu utajiri kutoka kwa mtu aliyekuwa tajiri sana pale ababeli ambaye alikuwa ni Arkad. Arkad alikubali kuwapa siri yake na alianza kwa kuwaambia jinsi gani alipata elimu hiyo. Aliwaambia jinsi alivyokuwa mwandishi na siku moja mtu tajiri, mkopeshaji fedha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: THE RICHEST MAN IN BABYLON

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz