Maswali matatu muhimu ya kujiuliza kuhusu soko.

By | October 20, 2014
Mafanikio yako wewe kwenye ujasiriamali yanatokana na mambo mengi sana. Moja ya jambo muhimu litakalokuletea mafanikio makubwa ni kulijua soko lako vizuri na jinsi ya kulifikia soko hilo. Na ili kufanikiwa kwa kiwango kikubwa sana unatakiwa uweze kulitawala soko kwa kiwango cha kutosha kuifanya biashara yako ipate faida kubwa na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz