KUJIAMINI; Jinsi Ya Kujijengea Tabia Ya Kujiamini.

By | October 21, 2014
Kujiamini ni tabia ambayo kila mtu anaweza kujijengea kama anavyoweza kujijengea tabia nyingine. Katika makala zilizopita tuliona nini maana ya kujiamini na faida za kujiamini. Kwenye makala ya leo tutaangalia jinsi unavyoweza kujijengea tabia ya kujiamini. Awali ya yote kujijengea kujiamini sio kitu ambacho kitatokea mara moja, bali itakuchukua muda

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz