Njia tano za kuongeza mauzo kwenye biashara yako.

By | November 10, 2014
Katika ujasiriamali na biashara kila mfanya biashara anajua kwamba fedha ndio damu ya biashara. Kama hakutakuwa na mzunguko wa fedha wa kutosha kwenye biashara ni sawa na mtu ambaye hana damu ya kutosha na hivyo itapelekea kufa kwa biashara. Na njia kubwa ya kuongeza mzunguko wa fedha kwenye biashara yoyote

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz