THE RICHEST MAN; Mkopeshaji Fedha Wa Babeli.

By | November 13, 2014
Rodan aliyekuwa mtengeneza spea wa babeli alikuwa na vipande hamsini vya dhahabu. Alitembea njiani kwa maringo huku dhahabu ikitikisika kwenye mifuko yake. Haijawahi kutokea kwenye maisha yake akawa na kiasi kikubwa vile cha dhahabu. Kiasi hiko cha dhahabu kingemwezesha kununua chochote alichokuwa anataka iwe ni ardhi, nyumba, farasi na kadhalika.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: THE RICHEST MAN IN BABYLON

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz