THE RICHEST MAN; Mkopeshaji Fedha Wa Babeli – 2.

By | November 15, 2014
Baada ya kumaliza mfano ule wa maksai na farasi, Mathon alimuuliza Rodan amejifunza nini kwenye mfano ule? Rodan alijibu ni hadithi nzuri ila hajajifunza chochote. Mathon alimwambia somo la kujifunza hapo ni rahisi sana; kama unataka kumsaidia rafiki yako msaidie kwa njia ambayo haitaleta matatizo yake kwako. Mathon alimwambia kabla

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: THE RICHEST MAN IN BABYLON

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz