TABIA ZA MAFANIKIO; Jinsi Ya Kuondoa Tabia Ya Kuahirisha Mambo.

By | December 2, 2014
Karibu tena msomaji wa KISIMA CHA MAARIFA katika kipengele hiki cha jinsi ya kujijengea tabia za mafanikio. Kwa zaidi ya miezi sita sasa tumekuwa tukijadili jinsi ya kujijengea tabia ambazo zitatuwezesha kufikia mafanikio. Moja ya sababu kubwa kwa nini watu wengi hawafanikiwi licha ya kufanya kazi kwa bidii na maarifa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz