Mambo ya kuzingatia kabla hujachukua mkopo wa biashara.

By | December 8, 2014
Wewe kama mjasiriamali kuna wakati ambapo utahitaji fedha zaidi ili uweze kukuza biashara yako. Fedha hizi unaweza kuzipata kupitia mikopo inayotolewa kwenye taasisi mbalimbali za kifedha. Wiki iliyopita hapa kwenye KONA YA MJASIRIAMALI tulijadili umuhimu wa taasisi za kifedha katika maendeleoa ya ujasiriamali. Katika makala ile tuliona vigezo muhimu unavyotakiwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz