KUAHIRISHA MAMBO; Jinsi ya kuondoa tabia ya kuahirisha mambo.

By | December 16, 2014
Tabia ya kuahirisha mambo ni adui mkubwa sana wa kufikia mafanikio makubwa. Hii ni tabia ambayo ipo kwa watu wengi na ni tabia rahisi sana kuifuata kutokana na asili ya binadamu ya kutopenda kufanya mambo yanayochosha au kuumiza. Kwa bahati nzuri ni kwamba unaweza kuondokana na tabia hiyo ya kuahirisha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz