THINK AND GROW RICH; Hatua Ya Kwanza Ya Kuelekea Kwenye Mafanikio. – 1

By | January 15, 2015
Hatua ya kwanza kabisa ya kuelekea kwenye mafanikio ni kuwa na hamu au shauku kubwa sana ya kufanikiwa. Katika hadithi ya Edwin tuliyoona kwenye uchambuzi uliopita, kilichomfanya akamtafute Edson ni hamu yake kubwa ya kutaka kufanikiwa. Hakukubali kurudishwa nyuma na kikwazo chochote. Edwin alikuwa na hamu kubwa sana ya kufanikiwa,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: THINK AND GROW RICH

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz