THINK AND GROW RICH; Hatua Ya Kwanza Ya Kuelekea Kwenye Mafanikio. – 2

By | January 16, 2015
Karibu kwenye sehemu hii ya uchambuzi wa vitabu na sasa tunachambua kitabu THINK AND GROW RICH. Katika sehemu iliyopita ya uchambuzi tuliona hatua sita za kufikia lengo lolote la kifedha au utajiri unaotaka. Naamini umeshatengeneza hatua zile, kama bado tafadhali rudia tena kusoma makala ile na utengeneze maelezo mafupi kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: THINK AND GROW RICH

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz