#HADITHI_FUNZO; Kikwazo Kinavyoweza Kugeuka Kuwa Fursa.

By | January 19, 2015
Zamani kidogo mfalme mmoja aliagiza jiwe kubwa sana liwekwe kati kati ya barabara ambayo wanachi wake walikuwa wanapita. Kisha alikaa mahali na kuangalia kama kutakuwa na mwananchi atakayejaribu kuondoa jiwe lile. Watu walipita, wakakuta jiwe lile, wengine walijipenyeza pembeni wakapita. Wengine walilalamika kwa sauti jinsi gani uongozi usivyojali kuweka bara

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz