Upangaji na mabadiliko ya bei kwenye biashara.

By | January 26, 2015
Moja ya maeneo muhimu sana kwenye biashara yako wewe kama mjasiriamali ni upangaji wa bei za bidhaa au huduma unazotoa. Hili ni eneo muhimu kwa sababu ukikosea kupanga bei unaweza kuiathiri biashara yako kwa kiasi kikubwa sana. Unaweza kukosa wateja au hata kupoteza wateja uliokuwa nao awali. Katika makala ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz