Njia KUMI Za Kufikia Utajiri.

By | February 4, 2015
Hakuna mtu asiyependa kuwa tajiri. Na kama hupendi kutumia neno tajiri, basi hakuna mtu asiyependa kufikia uhuru wa kifedha. Uhuru wa kifedha na utajiri ni kitu kimoja. Na hii ni hali ambayo mtu anaifikia pale ambapo hana tena hofu ya hela. Kwa kifupi tajiri au mtu mwenye uhuru wa kifedha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: MAFANIKIO NA HAMASA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz