THINK AND GROW RICH: Hatua Ya Nne Ya Kufikia Utajiri; Maarifa, Uzoefu Na Uchunguzi – 1.

By | February 5, 2015
Tunaendelea na uchambuzi wa kitabu THINK AND GROW RICH kama hukusoma makala za uchambuzi uliopita bonyeza maandishi haya THINK AND GROW RICH. Kuna aina mbili za maarifa, maarifa ya kawaida na maarifa ya kitaalamu. Maarifa ya kawaida hata ungekuwa nayo mengi kiasi gani, hayawezi kukusaidia kufikia utajiri. Haya ni maarifa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: THINK AND GROW RICH

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz