#HADITHI_FUNZO; Zawadi Ya Matusi…

By | February 6, 2015
Palikuwa na shujaa mmoja aliyeishi miaka ya zamani. Japo shujaa huyu alikuwa amezeeka, bado alikuwa na uwezo wa kupambana na kumsinda mpinzani wake. Sifa zake zilisambaa sana na wanafunzi wengi walikuja kwake kujifunza. Siku moja shujaa mwingine kijana alikuja kwenye kijiji cha shujaa yule mzee. Alikuwa ameamua kuwa mtu wa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz