Mbinu bora na rahisi ya kutangaza biashara yako.

By | February 16, 2015
Wote tunajua kwamba biashara ni wateja, ili biashara iweze kuendelea ni lazima iwe na wateja. Kama una bidhaa au huduma nzuri sana ambayo inaweza kuwasaidia watu wengi lakini hakuna watu ambao wapo tayari kuinunua, huna biashara. Lengo la biashara yoyote ni kutengeneza wateja halafu wateja ndio wanaleta faida na faida

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz