UAMINIFU; Jinsi ya kuepuka mazingira yanayokuondolea tabia ya uaminifu.

By | February 18, 2015
Mpaka sasa tumeshaona uaminifu ni tabia muhimu sana ili kuweza kufikia mafanikio makubwa. Hii ni kwa sababu unapokuwa mwaminifu watu wengi wanakuamini na wanakuwa tayari kushirikiana na wewe. Leo tutajadili jinsi ya kuepuka mazingira ambayo yanakuondolea tabia ya uaminifu. Hapa tutaangalia mbinu muhimu ambazo zitakuondoa kwenye mtego ambao utakufanya ufanye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz