NENO LA LEO; Kama Bado Hujaipata Fursa Fanya Hivi…

By | February 19, 2015
”If opportunity doesn’t knock, build a door” Milton Berle Kama bado fursa haijagonga hodi, tengeneza mlango. Unaweza kuwa unalalamika kwamba fursa haijaginga hodi kwako, kumbe huna hata mlango wa kutoa nafasi kwa fursa hiyo kugonga. Hivyo acha kulalamika na tengeneza mlango ambapo fursa itagonga. SOMA; Njia KUMI Za Kubana Matumizi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In