UAMINIFU; Uhusiano kati ya tabia ya uaminifu na mafanikio Makubwa.

By | February 24, 2015
Uaminifu ni moja ya tabia muhimu sana unazohitaji kujijengea. Hii ni kwa sababu kwa tabia ya uaminifu itakuwezesha kufikia mafanikio makubwa sana kuliko ambayo ungeyafikia kama usingekuwa na tabia ya uaminifu. Leo tutaona uhusiano wa karibu kati ya tabia ya uaminifu na mafanikio makubwa kwenye maisha. Kama tulivyoona kwenye siku

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz