Je ni kweli unahitaji mkopo kwenye biashara yako?

By | March 2, 2015
Zamani kidogo, kabla taasisi za kifedha hazijawa nyingi hapa nchini, kupata mkopo ilikuwa ni kazi kubwa sana. Ulihitaji kuwa na sifa nyingi zinazokuwezesha kupata mkopo na hata ukiwa nazo bado ulihitaji kusubiri mlolongo mrefu ndio uweze kupata mkopo unaohitaji. Sasa hivi mambo yamebadilika sana, taasisi za kifedha zimekuwa nyingi sana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz