Hii Ndio Hatari Kubwa Ya Zama Hizi Tunazoishi..

By | March 11, 2015
Kama ulisoma historia wakati upo shuleni utakuwa unakumbuka kwamba binadamu amepitia vipindi vingi sana mpaka kufikia hapa tulipo sasa. Kwanza kabisa binadamu alianza kwa kula mizizi na majani, baadae akawa anawinda, baadae akaanza kulima ikaendelea hivyo mpaka sasa maisha yanaonekana kuwa bora zaidi. Binadamu tumepitia zama nyingi sana. Tumepita zama

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz