THINK AND GROW RICH: Hatua Ya Sita Ya Kuelekea Kwenye Utajiri; Sababu 30 Zinazowafanya wengi Kushindwa.

By | March 13, 2015
Jambo kubwa la kushangaza kuhusu maisha ni kwamba kuna watu wengi sana ambao wamejaribu kutafuta mafanikio kwenye maisha yao ila wameshindwa. Cha kushangaza ziadi ni kwamba wanaoshindwa ni wengi sana kuliko wale wanaofanikiwa. Asilimia 98 ya watu wanaojaribu kupata mafanikio wanaishia kushindwa. Kuna tatizo kubwa sana kwenye mfumo wa maisha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: THINK AND GROW RICH

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz