Matumizi Mawili Ya Mbegu Za Mahindi.

By | March 15, 2015
Kama una mbegu za mahindi, unaweza kufanya vitu viwili tu na mbegu hizo. Unaweza kuzila, yaani kufanya chakula. Na unaweza kula kama ugali, makande, au hata mahindi ya kukaanga. Ni chanzo kizuri sana cha wanga, na nguvu kwenye mwili. Jambo la pili unaloweza kufanya na mbegu hizi za mahindi ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz