UKURASA WA 81; Achana Na Ubishi, Hautakusaidia Lolote.

By | March 22, 2015
Ukishaamua ni kitu gani ambacho unataka kufanya kwenye maisha yako, basi hapo ndio unafunga mjadala. Usijiingize kwenye ubishi kuhusiana na kile unachofanya. Kama umeshaamua kwamba wewe utakuwa mjasiriamali, anza kufanya ujasiriamali, jua kabisa mpaka unakufa wewe utakuwa mjasiriamali. Kuanza kuingia kwenye ubishi kama mjasiriamali anazaliwa au anatengenezwa hakutakusaidia lolote. Kuanza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In