Changamoto Inayokusumbua Kwenye Biashara.

By | March 23, 2015
Habari mpenzi msomaji, Naandika kitabu kinachohusu biashara. Hii ni kutokana na kuwepo kwa changamoto nyingi sana zinazozuia watu wengi kuingia kwenye biashara au kufanikiwa zaidi kupitia biashara. Vitabu vingi vya kibiashara havijaangalia upande wa pili wa tatizo ambapo ni mtu mwenyewe. Hivyo kitabu hiki kitaanza na mapinduzi ya mfanyabiashara mwenyewe

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz