Mteja wa kwanza na wa muhimu sana kwenye biashara yako.

By | April 6, 2015
Katika moja ya makala zilizopita hapa kwenye KONA YA MJASIRIAMALI tuliwahi kujadili lengo kuu la biashara ni nini. Kama hukumbuki au hukupata nafasi ya kusoma makala ile tuliona kwamba lengo kuu la biashara sio kupata faida kama watu wengi wanavyofikiria. Bali lengo kuu la biashara ni kutengeneza wateja. Kama biashara

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz