#NENO_BUSARA; Matumaini Sio Mpango.

By | May 7, 2015
Mara nyingi mambo yanapokwenda vibaya, au yanapokuwa magumu mtu huwa na matumaini kwamba hali itabadilika tu. Sio vibaya kuwa na matumaini, ila nataka nikukumbushe kwamba matumaini sio mpango. Ukiacha mambo yawe mazuri yenyewe huo sio mpango mzuri kwako na hivyo huwezi kupata kilicho bora. Kama unataka kuondoka kwenye hali ngumu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz